25 April, 2015

Kuhusu filamu mpya ya Rush Hour na waigizaji wake.

p 1
Picha ya billboard iliyopo mjini Hollywood toka tarehe 23 April ameshika vichwa vya habari baada ya kuonekana kuwa filamu ya Rush Hour toleo la nne inakuja.
Picha hii imeonekana kwenye instagram ya Diddy ambaye ni muigizaji na mwigizaji mwingine Byung-hun Lee, picha iliambatana na ujumbe “The Rush is back,”
.p 2

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...