27 April, 2015

Beckham kaamua kurudi tena Africa kufanya birthday yake?? Jibu ni YES, itafanyika huku..

12-11-13-2
Miaka saba iliyopita mwanasoka mkongwe na staa wa mitindo duniani David Beckham na mkewe Victoria walirudia viapo vya ndoa yao, walisafiri na kuamua kufanya sherehe yao jiji la Marrakech, Morocco.

Ndoa yao ni  mfano wa kuigwa kwa mastaa wengi duniani, imedumu kwa mrefu na mpaka sasa na watoto wanne.747123-86119d22-7813-11e4-a0f0-f6e11a4d80aeSafari hii mwanasoka huyo ambaye atakuwa na sherehe ya kutimiza miaka 40 siku ya May 2 2015 mwaka huu amepanga kwenda kusherehekea siku yake hiyo pamoja na familia yake na washkaji zake wa karibu ndani ya Morocco, kulekule ambako ambako walienda kurudia kiapo cha ndoa yao.Amanjena-Resort

Mawerenewz.blogspot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO,SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Mawere Mtoka Mbali, Instagram>>>Zawadi_mawere. Youtube>>>MAWERE TV.


No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...