27 April, 2015

Baada ya TIDAL ya Jay Z kupondwa, Amesema haya kuhusu maendeleo yake.

New-Jay-Z
Jay Z  amejibu tuhuma za kuwa mtandao wake wa muziki TIDAL umeanza kufa. Kupitia twitter yake Jay Z amesema mpaka sasa Tidal ina watu waliojiandikisha 770,000 ndani ya mwezi mmoja tu.
Jay Z pia ameomba watu wampe ushirikiano na muda wao kwani kampuni kubwa kama Itunes haikujengwa siku mmoja
.
j 2 j 3j 3

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...