26 April, 2015

ARSENAL NA CHELSEA WATOKA SULUHU, NA HUU NI MSIMAMO WA EPL BAADA YA MECHI ZA LEO

                 2806F8F700000578-3056215-image-m-48_1430061690336
MPAKA dakika 90′ zinamalizika, Arsenal wakiwa nyumbani wamemiliki mpira kwa asilimia 57 kwa 43 za Chelsea, timu hizo zikitoka suluhu (0-0) katika mechi ya ligi kuu iliyomalizika usiku huu uwanja wa Emirates mjini London.

Chelsea walipiga mashuti matatu tu (3) yaliyolenga lango na Arsenal mashuti mawili (2).
Arsenal wamepata kona 6, Chelsea 2. 
MSIMAMO WA EPL BAADA YA MECHI ZA LEO
How the Premier League table now looks

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...