Tarehe 1 mwezi 5 mwaka 2015 msanii Nasibu Abdul maarufu kama Diamond anatarajia kufanya show pale Mlimani city. Kupitia ukurasa wa instagram wa kampuni yake ya Wasafi Baby wameweka wazi ujio wa msanii maarufu wa Hip Hop kutoka South Africa anaitwa AKA
Hii ni video ya Congratulate ambayo imefanya vizuri Africa nzima.
No comments:
Post a Comment