26 August, 2016
Music: Download wimbo mpya wa Juma Kakere- 'Shangwe ya harusi" -
Cristiano Ronaldo ashinda tuzo ya mwanasoka bora Ulaya
Ronaldo ametangazwa kuwa mwanasoka bora wa Ulaya baada ya kuwashinda wachezaji wengine wawili ambao wote wanatokea katika timu za jiji la Madrid nchini Hispania tuzo hizo zilitolewa Nchini France katika mji wa Monaco.
Katika Kura zilizopigwa na waandishi 55 wanachama wa UEFA katika Tuzo ya Mchezaji Bora wa Ulaya 2015/2016 matokeo yamekuwa hivi
Cristiano Ronaldo – 40
Antoine Griezmann – 8
Gareth Bale – 7
Mshambuliaji wa Olympique Lyon na timu ya Norway Ada Hegerber ameshinda tuzo ya Mchezaji Bora wa Ulaya kwa upande wa Wanawake 2015/2016
Ada Hegerberg
Download new music; Man Fongo " Nani bado sijamtaja"
Video: 2Baba Ft. Sauti Sol – Oya Come Make We Go
It’s a pan-african affair as West Africa links up with East Africa.
2Baba calls on the uber-talented Kenyan ensemble – Sauti Sol for “Oya
Come Make We Go”. Enjoy the video, Share it to our friends as much as you can.
Samatta afunga na kusaidia klabu yake Genk kufuzu Europa League
Mchezaji wa kitamataifa kutoka
Tanzania Mbwana Ally Samatta amepata nafasi ya kucheza hatua ya makundi
ligi ndogo ya klabu Ulaya, Europa League.
Genk walipata ushindi wa 2-0 mechi iliyochezwa Alhamisi jioni.
Klabu hizo mbili zilitoka sare 2-2 mechi ya mkondo wa kwanza.
Samatta alifungia klabu yake bao la kwanza dakika ya pili naye mwenzake Leon Bailey akafunga la pili muda mfupi baada ya mapumziko.
Samatta pia alioneshwa kadi ya manjano dakika ya 69.
Droo ya hatua ya makundi itafanywa mjini Monaco baadaye leo Ijumaa mwendo wa saa tisa saa za Afrika Mashariki.
23 August, 2016
Rick Ross’ “Port of Miami 10th Year Anniversary Trailer
Rapper na nguli wa Hip-hop Marekan Rick Ross anatengeneza official Port of Miami behind-the-scenes trailer itakayo onekana kwenye mtandao maarufu wa Burudani TIDAL(Tidal.com/RICKROSS).
Mtandao huo utaonyesha moja kwa moja(live-stream) perfomance maalumu kutoka kwa boss huyo wa May-bach Music Group Rick Ross huko Port of Miami in Miami ifikapo Junatatu , August 29th.
Unaweza kuingalia trailer hiyo hapa >>> BOFYA HAPA<<<
22 August, 2016
Semenya,Mo Farah na Brazil wawika Rio
Mwanariadha wa Afrika Kusini Caster Semenya amejishindia dhahabu katika mbio za mita 800 .
Franchine
Niyonsaba amechukua nafasi ya pili na kujishindia medali ya fedha huku
mkenya Margeret Nyairera Wambui akichukua medali ya shaba .Semenya alivunja rekodi ya taifa lake katika mbio hizo na kuweza kushinda kwa dakika moja dakika 55 na sekunde 28.
Mwanariadha huyo ambaye alizua utata mwaka 2012 alipofanyiwa ukaguzi wa kijinsia alijishindia fedha mwaka huo.
''Ndoto ya mwanariadha yoyote ni kushinda dhahabu hususan katika mbio za Olimpiki'',alisema Semenya.
Na Marekani imeshinda mbio za mita 400 mara 4 kupokezana vijiti kwa wanawake na kujinyakulia nishani ya dhahabu, baada ya kutimka kwa muda wa Sekunde 19.06.
Kina dada hao wameandikisha ushindi mara sita mtawalia katika mashindano ya Olimpiki.
Kikosi cha kina dada kutoka Jamaica kilizoa fedha, ilhali Uingereza ikajipatia nishani ya shaba.
Kikosi cha wanaume pia cha Marekani kimeshinda mbio za mita mia nne mara nne kupokezana vijiti.
Naye mwanariadha wa Uingereza Mohammed Farrah, ameandikisha ushindi mara mbili katika mbio ndefu za mita elfu kumi na elfu tano mtawalia, huku akizoa dhahabu baada ya kuwapiku wenzake kwa kasi huko Rio de Janeiro.
Miaka minne iliyopita alizoa dhahabu mbili katika mbio hizo hizo, katika mashindano ya Olimpiki Jijini London.
Wakati huo huo, timu ya soka ya wenyeji Brazil, inafurahia nishani yake ya kwanza ya dhahabu, katika soka.
Mabingwa hao mara tano wa kombe la dunia waliwanyuka Wajerumani katika mikwaju ya penalti, baada ya mechi hiyo kumalizikia bao moja kwa moja, hata baada ya kipindi cha ziada
Subscribe to:
Posts (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...
-
Mpenzi msomaji wa safu hii ni siku nyingine tunakutana katika kujuzana,kukumbushana, na kuelimishana mila na desturi za makabila mbalimbal...
-
This is a song sang by a very gifted woman Adele, I sang it to show world that everyone appreciate and love to enjoy good music! Asa...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
