Kabla ya yote tambua yakwamba Uvaaji na Ununuaji wa suti ni jambo la Experience, Huwezi ukajitokea huko na kutaka kuvaa suti tuu, hili vazi lina watu wake bwana.. Kwa Muda sasa nmekua nikifuatilia na kutizama harusi za wengine hasa wanaume na kinachonifanya nifuatilie hayo ni namna gani bwana atakavyo kua ametupia suti yake, saa na Kiatu.
Najua una mchecheto wakufahamu suti gani utakayotupia siku yako ya Harusi yako maana hiyo ni Moja ya ndoto ama wazo lililoko katika kila kichwa cha Maharusi watarajiwa.. Leo nmekuandalia dondoo kadhaa ambazo zitakufanya uonekane mwenye Furaha ana kupendezwa na harusi yako...
Kama nilivyoeleza hapo juu kwamba Uvaaji wa Suti ni jambo la Experience hivyo wakati utakapo vaa nguo hiyo hakikisha unatia tabasamu la maana katika uso wako. Huwezi vaa hili vazi na Ukanunua aisee unaharibu utaratibu..
Hakikisha unachagua Rangi sahihi itakayo endena na wewe pamoja na Tukio kwa ujumla. Usikurupuke maana Utaaibika Vilivyo.
Hizi zifuatazo ambazo zimefanya Poa mwaka 2016...

























No comments:
Post a Comment