wapo wewe ni kijana ambaye ana chunisi ,unaweza kujihisi kana kwamba ni mwisho wa dunia. Lakini utu uzima wako utakusaidia.
Utafiti
mpya kutoka chuo cha Kings mjini London,kilichowachunguza mapacha wa
kike 1,205,unasema kuwa kijana aliye na chunusi huishi masha akionekana
mdogo ukilinganisha na watu wa umri kama wake ambao wana ngozi nzuri.
Wataalam wanasema kuwa ni kwa sababu watu waliio na acne wana kinga ya mwilini dhidi ya uzee.
Hiyo inamaanisha kwamba vitu kama vile ngozi iliojikunja na ilikonda huonekana baadaye katika maisha.
Kwa nini?
Utafiti
huo umechunguza seli nyeupe zilizchokuliwa kutoka kwa mtu mwenye
chunusi na kubaini kwamba zina kofia zenye kinga katika mwisho wa
kromosomu zake zinazowasaidia kutozeeka haraka.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
-
John ana mke ambaye haoni uzuri wa kitu chochote anachofanya, akifika tu nyumbani mke wake huanza kumlalamika kuwa hela anayoacha nyumba...
-
This is a song sang by a very gifted woman Adele, I sang it to show world that everyone appreciate and love to enjoy good music! Asa...
No comments:
Post a Comment