28 September, 2016

Ratiba ya Mechi za UEFA leo September 28



Baada ya hapo jana michezo 8 kuchezwa katika viwanja tofautitofauti barani Ulaya ikiwa ni katika ligi ya mabingwa barani humo, leo pia kuna muendelezo wa ligi hiyo.


Ikiwa ni timu 16 ambazo zitamenyana katika viwanja 8 ili kukamilisha ratiba ya kucheza mechi 2 kwa kila timu kwa makundi A,B,C na D kama ilivyokuwa hapo jana kwa makundi E mpaka H. Ratiba ya mechi za leo ipo kama ifuatavyo.
Group A
  1. Arsenal vs Basel
  2. Ludogorets Razgrad vs Paris Saint German
Group B
  1. Besiktas vs Dynamo Kyiv
  2. SSC Napoli vs Benfica
Group C
  1. Borussia Monchengladbach vs Barcelona
  2. Celtic vs Manchester City
Group D
  1. Atletico Madrid vs Bayern Munich
  2. FC Rostov vs PSV Eindhoven

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...