05 September, 2016

Music: Moni Central Zone ft Geof Master – Vanilla & Strawberry

 
Ukiachana na kuwa ni mji mkuu wa taifa la Tanzania tu, Dodoma vilevile ndio makao makuu ya kundi la muziki la Central Zone, kundi ambalo anatoka mkali Moni. Bofya Download hapo chini kuupakua wimbo huo.

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...