06 September, 2016

E! News; Lil-Wyne haja staafu Muziki- ni msongo wa mawazo!

 
Ni siku chache tuu baada ya rapper Lily wyne kutangaza kupita account yake ya Twitter kwamba anastaafu Muziki.Wayne aliteka vichwa vya habari kwa maneno haya “I AM NOW DEFENSELESS AND mentally DEFEATED & I leave gracefully and thankful I luh my fanz but I’m dun,” Kauli yake hiyo ilitafsiriwa na wadau mbali mbali kwamba Mkali huyo kaacha Muziki rasmi.

 0903-sub-lil-wayne-tmz-01 Kipindi cha E! News Marekani kimesema rapa Lil Wayne haja staafu muziki ila tweet zake kuhusu kuchoshwa na muziki zilitokana na msongo wa mawazo na mambo yake kutokwenda sawa hivi karibuni,

E! News imeripoti kuwa maneno hayo ya Lil Wayne yalitokana na msongo wa mawazo anaopitia kwa sasa rapa huyu na kwamba bado anapenda muziki na hana mpango wa kuacha kuimba, ameshaanza kurekodi kazi mpya.

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...