Mwanamuziki maarufu Nigeria na Africa kwa ujumla Wizkid yuko mbioni kutangazwa msanii mpya wa Sony Music Worldwide, kwa mujibu wa kituo cha runinga cha Soundcity.Kituo hicho kimeripoti kuwa muimbaji huyo ataungana na Davido kwenye roaster ya label hiyo kubwa.
“Dili la Wizkid na Sony limekamilika. Habari itatoka hivi karibuni.
Meneja wake Sunday Are ametuelezea kuwa hili litazungumzwa hivi
karibuni,” kilisema chanzo.
Umaarufu wa Wizkid umeongezeka maradafu mwaka huu baada ya
kushirikishwa na Drake kwenye wimbo One Dance ulioshika namba moja
kwenye chati za Billboard Hot 100.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
-
John ana mke ambaye haoni uzuri wa kitu chochote anachofanya, akifika tu nyumbani mke wake huanza kumlalamika kuwa hela anayoacha nyumba...
-
This is a song sang by a very gifted woman Adele, I sang it to show world that everyone appreciate and love to enjoy good music! Asa...
No comments:
Post a Comment