Emanuel Austin ni mwalimu wa Dance huko nchini Uingereza, amekua akifanya kazi na wasanii kadhaa wa hapa nyumbani pia kama vile Ben Paul na wasanii wengine. Na hii ni ngoma yake nyingine alomshirikisha Rajson Melody, wimbo unakwenda kwa jina la ‘Mapenzi Digitali.’ Mkono wa Producer Bako Rapper.
Bofya DOWNLOAD hapo chini kuupakua wimbo huo.
27 August, 2016
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...

-
Brit Awads 2016 zimefanyika huko London ambapo mwanamuziki Adele ameondoka na tuzo nyingi zaidi katika nomination alizo kuwepo. Hizi hapa...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
-
Yule mkali wa Rnb Rama Dee katuletea ngoma mpya "Kipenda Roho" Bofya ku Download Music: Rama Dee - Kipenda Roho.
No comments:
Post a Comment