01 July, 2016

Picha: Tizama jumba jipya alilo nunua Kendall Jenner huko Hollywood

Mtandao wa TMZ umeripoti kwamba mwana dada Kendall Jenner anahamia huko West Hollywood kwenye jumba la kifahari alilo nunua. Jumba hilo limemgharimu mlimwende huyo kiasi cha $6.5 million. Tizama video fupi inayo onyesha Uzuri wa Jumba hilo.

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...