16 June, 2016

TBT: Ngoma 5 kali za Bongo flava ya Kitambo.

Leo nmekuletea ngoma tano kali zilizo wahi kuziteka nyoyo za mashabiki, yaani za kale Dhahabu. Ngoma hizo ni Kutoka kiumeni, Kutoka kwa Prof.J, Mangwir, Mb Dogy.  Enjoy


1. Dar Mpaka Moro-TMK wanaume
2.Mikasi - Ngwair 
3. Nitakusaidiaje-Prof J ft Ferooz
4.Latifah-Mb Doggy.
5.Vaileth-Matonya.

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...