11 March, 2016

Spurs,United chali Europa ligi


Tottenham Hotspurs wakicheza ugenini katika dimba Signal Iduna Park huko nchi Ujeruman wamekubali kichapo cha mabao 3-0 .
Pierre-Emerick Aubameyang ndie aliyeanza kuifunga Spurs kwa bao la dakika 30 kisha mchezaji bora wa mchezo huo Marco Reus akafunga mabao mengine mawili katika dakika ya 61 na 70.
Nao Mashetani wekundu wa Man United wakachapwa kwa mabao 2-0 na Liverpool katika mchezo uliopigwa katika dimba la Anfield, Dany Sturridge, alifunga goli la kwanza kwa mkwaju wa penati kisha Roberto Firmino akafunga bao la pili.
Matokeo ya michezo mingine
Valencia 0-1 Athletic Bilbao
Basel 0-0 Sevilla
Fenerbahçe 1-0 Sporting Braga
Shakhtar Donetsk 3-1 Anderlecht
Sparta Prague 1-1Lazio
Villarreal 2-0 Bayer 04 Leverkusen

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...