14 March, 2016

Magufuli awateua wakuu 13 wapya wa mikoa ( List kamili)


Rais Magufuli amewateua wakuu 13 wapya wa mikoa miongoni mwa orodha mpya ya wakuu 26 wa mikoa iliyotangazwa jana na ikulu ya rais.
Rais John Pombe Magufuli amewahifadhi wakuu 13 waliohudumu katika serikali ya Jakaya Kikwete.
Uteuzi huo umetangazwa na katibu mkuu kiongozi, Mussa Ibrahim Iyombe.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo kwa vyombo vya habari iliyotiwa sahihi na Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano, katika ikulu, Gerson Msigwa, Viongozi hao wote walioteuliwa wataapishwa katika hafla maalum itakayoandaliwa jumanne tarehe 15 Machi, 2016 saa tatu asubuhi jijini Dar es salaam.
Orodha ya wakuu wa mikoa walioteuliwa ni kama ifuatavyo;
   
Afisa Mkuu wa Mkoa
Paul Makonda Dar es Salaam
Ezekiel Elias Kyunga Geita
Salum Mustafa Kijuu Kagera
Raphael Muhuga Katavi
Emmanuel Maganga Kigoma
Godfrey Zambi Lindi
Dkt. Steven Kebwe   Morogoro
Zerote Steven   Rukwa
Anna Malecela Kilango   Shinyanga
Methew Mtigumwe   Singida
Antony Mataka   Simiyu
Aggrey Mwanri   Tabora
Martine Shigela   Tanga
Jordan Mungire Rugimbana   Dodoma
Said Meck Sadick   Kilimanjaro
Magesa Mulongo   Mara
Amos Gabriel Makalla   Mbeya
John Vianey Mongella   Mwanza
Daudi Felix Ntibenda   Arusha
Amina Juma Masenza   Iringa
Joel Nkaya Bendera   Manyara
Halima Omary Dendegu   Mtwara
Dkt. Rehema Nchimbi   Njombe
Evarist Ndikilo   Pwani
Said Thabit Mwambungu  Ruvuma
Chiku Galawa   Songwe (Mkoa mpya)

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...