Cristiano
Ronaldo akishangilia baada ya kufunga mabao matatu peke yake katika
ushindi wa 6-0 dhidi ya Espanyol kwenye mchezo wa La Liga usiku wa
Jumapili Uwanja wa Bernabeu. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Karim
Benzema, James Rodriguez na Oscar Duarte aliyejifunga.02 February, 2016
RONALDO APIGA HAT TRICK REAL MADRID IKISHINDA 6-0 LA LIGA
Cristiano
Ronaldo akishangilia baada ya kufunga mabao matatu peke yake katika
ushindi wa 6-0 dhidi ya Espanyol kwenye mchezo wa La Liga usiku wa
Jumapili Uwanja wa Bernabeu. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Karim
Benzema, James Rodriguez na Oscar Duarte aliyejifunga.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...
-
Brit Awads 2016 zimefanyika huko London ambapo mwanamuziki Adele ameondoka na tuzo nyingi zaidi katika nomination alizo kuwepo. Hizi hapa...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
-
Mpenzi msomaji wa safu hii ni siku nyingine tunakutana katika kujuzana,kukumbushana, na kuelimishana mila na desturi za makabila mbalimbal...
No comments:
Post a Comment