23 February, 2016

Ne- Yo na mchumba wake Crystal Renay waoana

Muimbaji Ne-Yo na mchumba wake Crystal Renay  wamefunga ndoa Terranea Resort katika Rancho Palos Verdes, Calif. Jumamosi hii ya (Februari 20/2016).  Ne-Yo  ” Mimi nina furaha kubwa familia yangu na marafiki wameweza kushiriki na sisi kwa pamoja” hivyo tuliona hatuwezi kusubiri maana tuna hamu ya kuanza maisha yetu kwa pamoja.

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...