23 February, 2016

Manchester United yaichapa Shrewsbury Town bao 3-0 nakutinga robo fainali

The winger, who has broken into the United first team this season, celebrates in front of the fans after netting the third Hapo jana ilikua ni furaha kwa mashabiki wa manchesterUnited baada ya team hiyo kuilaza Shrewsbury Town bao 3-0, mabao hayo yakipachikwa wavuni na Chris Smalling dakika ya 37, Juan Mata dakika ya 47 na Jesse Lingard dakika ya 61.France international Martial (centre) had great chance to make it three for the away side but he put his header well wide of the postKwa ushindi huo, Mashetani Wekundu watamenyana na West Ham United na West Ham United Uwanja wa Old Trafford mwezi ujao. 
Robo fainali nyingine, Chelsea itaifuata Everton katika Robo Uwanja wa Goodison Park, kufuatia kuitoa Manchester City kwa kuifunga mabao 5-1 usiku wa leo Uwanja wa Stamford Bridge, London.
Crystal Palace ya mshambuliaji wa Togo, Emmanuel Adebayor itasafiri kuifuata Reading baada ya kuitoa Tottenham Hotspur leo kwa kuifunga 1-0 Uwanja wa White Hart Lane.
Watford itasafiri kuifuata Arsenal au Hull City, wakati West Ham United itasafiri kuifuata Shrewsbury Town au Manchester United.
Arsenal watarudiana na Hull City kusaka timu ya kwenda Robo Fainali, baada ya sare ya 0-0 Uwanja wa Emirates jana, wakati Shrewsbury Town wataikaribisha Manchester United kesho Uwanja wa New Meadow kuanzia Saa 4:45 usiku.

Mechi za Robo Fainali za Kombe la FA zitachezwa wikiendi ya Machi 11 na 14 mwaka huu.
 
PICHA
 
Will Keane's bad injury luck continued after hurting his groin just minutes after coming following an effort which hit the postShrewsbury have a rare foray into the United box and Sergio Romero collides with Zak Whitbread as they go for a crossShrewsbury striker Andy Mangan (centre) looks to run away from the oncoming Mata and Jesse Lingard Former chief executive David Gill (left) was an interested spectator alongside executive vice-chairman Ed WoodwardMemphis Depay (left) endured a frustrating first half and his free-kick on edge of the box struck a team-mate before flying overEngland international Smalling battles with Jermaine Grandison as the League One side provided a physical test

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...