Pop Staa Justin Bieber anaonekana amekuwa zaidi kwenye picha za jarida la GQ.
Kupitia interview aliyofanyiwa Justin Bieber anasema “Wimbo wa
‘Sorry’ haukuwa ujumba wa kuomba msamaha dunia kwa mambo ya kitoto
anayofanya,wimbo hauna issue yoyote na kuomba msamaha, wimbo unahusu
mwanamke”
Justin Bieber “Watu wengi wamekuwa na kuanza kujutia mambo yao ya
zamani waliyofanya, sio mimi, ningepata nafasi ya kurudi nyuma nisinge
bailisha chochote, mambo hayo yamenifanya niwe nilivyo sasa”.
Justin Bieber pia amemuelezea mpenzi wake mpya Hailey Baldwin nakusema
“Someone I really love,” he says. “We spend a lot of time together”.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...

-
Mshambuliaji huyo wa umri wa miaka 26 ambaye amekuwa akichezea klabu ya Corinthians ya Ugiriki amechezea taifa lake mechi 27 na kuwafungi...
-
Brit Awads 2016 zimefanyika huko London ambapo mwanamuziki Adele ameondoka na tuzo nyingi zaidi katika nomination alizo kuwepo. Hizi hapa...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
No comments:
Post a Comment