11 February, 2016

Justin Bieber kwenye kava la jarida la GQ,

Pop Staa Justin Bieber anaonekana amekuwa zaidi kwenye picha za jarida la GQ.
Kupitia interview aliyofanyiwa  Justin Bieber anasema “Wimbo wa ‘Sorry’ haukuwa ujumba wa kuomba msamaha dunia kwa mambo ya kitoto anayofanya,wimbo hauna issue yoyote na kuomba msamaha, wimbo unahusu mwanamke”
Justin Bieber “Watu wengi wamekuwa na kuanza kujutia mambo yao ya zamani waliyofanya, sio mimi, ningepata nafasi ya kurudi nyuma nisinge bailisha chochote, mambo hayo yamenifanya niwe nilivyo sasa”.
Justin Bieber pia amemuelezea mpenzi wake mpya Hailey Baldwin nakusema “Someone I really love,” he says. “We spend a lot of time together”.
bieber-gq-1 bieber-gq-2 bieber-gq-3 bieber-gq-4 bieber-gq-5 bieber-gq-6 bieber-gq-slideshow justin-bieber-gq

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...