Shughuli za kusambaza misaada zimeathirika pakubwa kutokana na ukosefu wa fedha za kutosha, usalama na mvua ya el nino inayoendelea kushuhudiwa katika sehemu kadhaa.
Mratibu wa umoja wa mataifa anayehusika na masuala ya misaada ya kibinadamu nchini Somalia Peter De Clrecq, amesema wito huo ni muhimu sana na utasaidi watu wengine milioni moja nukta moja waliokimbia vita nchini Somalia.
Miongoni mwa maeneo yaliyoathirika zaidi ni pamoja na Baido, Bossaso, Gaalkayo, Kiismayo na mji mkuu wa Mogadishu.
No comments:
Post a Comment