Ijumaa ya Jan 15 picha ya Rozay akiwa na bosi wa Epic Records aliyewahi kuwa bosi wa Def Jam L.A Reid ilitolewa na kurasa za lebel hio ikiwa na ujumbe “Welcome @rickyrozay to the #EPIC family!”
Rozay alijiunga na Def Jam mwaka 2006 na ametoa album nane mpaka sasa yamwisho ikiwa Black Market iliyoshika namba 6 kwenye bilboard charts.
Rozay atakuwa lebel moja na wasanii kama Future, Diddy, Mariah Carey, Ciara, Travis Scott,na Fifth Harmony.
No comments:
Post a Comment