10 January, 2016

Mmoja wa walanguzi wakuu wa mihadarati nchini Mexico "El Chapo" Guzman amekamatwa baada ya kuwa mafichoni kwa miezi sita.


Alikamatwa na polisi katika hoteli moja na mmoja wa washirika wake viungani mwa mji wa Los Mochis katika jimbo la Sinaloa, ambalo ni kituo kikuu cha harakati za mifumo ya biashara za mihadarati.
Alitoroka uvamizi wa asubuhi kupitia mtaro, lakini alikamatwa na kikosi cha wanamaji alipokua akijaribu kutoroka kwenye gali lake.

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...