Mshambuliaji
wa Liverpool, Christian Benteke akipiga kichwa kilichoenda juu ya lango
la Exeter City katika mchezo wa marudiano wa Raundi ya Tatu Kombe la FA
England. Liverpool ilishina 3-0 usiku wa jana Uwanja wa Anfield, mabao
ya Joe Allen, Sheyi Ojo na Joao Teixeira na kufuzu Raundi ya Nne, ambako itakutana na West Ham United
21 January, 2016
LIVERPOOL YASHINDA 3-0 NA KUFUZU RAUNDI YA NNE KOMBE LA FA ENGLAND
Mshambuliaji
wa Liverpool, Christian Benteke akipiga kichwa kilichoenda juu ya lango
la Exeter City katika mchezo wa marudiano wa Raundi ya Tatu Kombe la FA
England. Liverpool ilishina 3-0 usiku wa jana Uwanja wa Anfield, mabao
ya Joe Allen, Sheyi Ojo na Joao Teixeira na kufuzu Raundi ya Nne, ambako itakutana na West Ham United
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...
-
Brit Awads 2016 zimefanyika huko London ambapo mwanamuziki Adele ameondoka na tuzo nyingi zaidi katika nomination alizo kuwepo. Hizi hapa...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
-
Mpenzi msomaji wa safu hii ni siku nyingine tunakutana katika kujuzana,kukumbushana, na kuelimishana mila na desturi za makabila mbalimbal...
No comments:
Post a Comment