Mahali pekee utakapopata habari za Burudani,Michezo,Urembo udaku na Kuelimika
17 January, 2016
GABON NA MOROCCO HAKUNA MBABE CHAN 2016,
Kiungo
wa Gabon, Rodrigue Moundougua (kulia) akijaribu kumpita beki wa
Morocco, Abdessalam Benjelloun katika mchezo wa Kundi A Michuano ya
Ubingwa wa Mataifa wa Afrika (CHAN) Uwanja wa Amahoro, Kigali, Rwanda
usiku wa leo. Timu hizo zimetoka 0-0. Rwanda iliyoshinda mchezo wa kwanza jioni 1-0 dhidi ya Ivory Coast sasa inaongoza Kundi A.
No comments:
Post a Comment