Japo bado hajatangaza zaidi kuhusiana na mkataba huo lakini kupitia Instagram aliandika,
“To all those that doubted me!! it’s a done deal! 1st african artist to sign a global record deal !! my story is just starting!! my mother is smiling in heaven right now!! sony music entertainment !! owo ti wole.”
Davido ameungana na wasanii wengine ambao wapo chini ya lebel hiyo ikiwemo Future, Travis Scott, Carrie Underwood, kundi la Fifth Harmony na wengine.
No comments:
Post a Comment