22 January, 2016

Davido asaini mkataba na label ya Sony Music

Davido amekuwa msanii wa kwanza Afrika kusaini na label ya Sony music global.
Davido signs new deal with Sony Music.

Japo bado hajatangaza zaidi kuhusiana na mkataba huo lakini kupitia Instagram aliandika,
“To all those that doubted me!! it’s a done deal! 1st african artist to sign a global record deal !! my story is just starting!! my mother is smiling in heaven right now!! sony music entertainment !! owo ti wole.” 
Davido ameungana na wasanii wengine ambao wapo chini ya lebel hiyo ikiwemo Future, Travis Scott,  Carrie Underwood, kundi la Fifth Harmony na wengine.

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...