19 December, 2015

RATIBA YOTE YA EPL IKO HIVI

Chelsea vs Sunderland
Leo timu ya Chelsea inaingia uwanjani kukipiga dhidi ya Sunderland kwenye mchezo wa ligi kuu England ikiwa ni mchezo wa kwanza baada ya kocha Jose Mourinho kutimuliwa kwenye kikosi hicho.
Kwenye mabano ni muda halisi (kwa saa za Afrika Mashariki) ambao mechi zitaanza kuchezwa.
Chelsea vs Sunderland (saa 18:00)
Everton vs Leicester (saa 18:00)
Man Utd vs Norwich (saa 18:00)
Southampton vs Tottenham (saa 18:00)
Stoke vs Crystal Palace saa (18:00)
West Brom vs Bournemouth (saa 18:00)
Newcastle vs Aston Villa (saa 20:30)

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...