14 October, 2015

Picha: Davido akutana na Trey songz na Young Jeezy

davido and trJumamosi iliyopita tarehe 10 Oktoba, Staa wa muziki wa Naija, Davido alienda kuparty kwenye club ya ‘Compound Night Club’ huko Atlanta na Mastaa wakubwa wa Marekani Trey songz na rapper Young Jeezy.
Kwa mujibu wa Boss wa HKN, Davido amesema Nimekua nikiwaona kwenye TV lakini sasa tunachangia bill moja club’. Trey songz ni moja ya wasanii wa kimataifa walioshirikishwa kwenye Album mpya ya Davido, ameshirikishwa kwenye wimbo unaoitwa ‘Wetin you Say‘.
davido and joel katz
Pia Davido alikutana na Mwanasheria namba moja kwenye Entertainment kwa mujibu wa Billboard, Joel Katz kwahiyo tunaweza tegemea chochote kati ya hawa watu wawili, Joel Katz pia huwa anaitwa ‘the deal maker who thinks outside the box’

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...