15 October, 2015

HONGRA DIAMOND PLUTNUM imetangazwa hivi na MTV BASE..


Hii good news imekuja siku chache baada ya ushindi wa tuzo za AFRIMMA 2015 ambazo zilitolewa Dallas Texas Marekani ambako Diamond Platnumz alishinda tuzo tatu.
Sasa kupitia twitter page ya MTV BASE leo October 15 2015 yameandikwa maneno ya kumpongeza Mtanzania Diamond Platnumz kwenye ushindi wa MTV Europe Music Awards yakisomeka >>> ‘ | Congratulations to who is the ‘Best African Act
MTV 5
Kwa time hiyohiyo kundi la Sauti Sol la Kenya lilimpongeza Diamond kupitia Instagram page yao na kuandika ‘MTVEMA imebaki Afrika Mashariki, ilikua yetu mwaka 2014 na sasa ni ya Diamond mwaka 2015, tumpongeze #BestAfricanAct2015 Diamond Platnumz, usisahau kuendelea kumpigia kura sasa hivi anaiwakilisha Afrika kwenye kipengele cha #WorldwideACT, mshindi atatangazwa tarehe 25 October 2015 Milan, Italy
MTV 3
MTV 4
Bonyeza kwenye hii link inayofata hapa ili kumpigia Diamond kura >>> VOTE
mtv 7
mtv 6

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...