Msanii wa muziki nchini Nigeria ambaye anajiita Shoki Master maarufu kwa jina la Lil Kesh’s, ameachia video ya wimbo wake mpya ambao unaitwa ‘Efejoku’ amemshirikisha msanii ‘ mwingine ambaye jina lake ni ‘Viktoh’. Video directed by Unlimited L.A. Hivyo
chukua time hii kuitazama video hapa ukimaliza tunakuomba usibanduke
kwenye tovuti hii kwani bado tunaendelea kukujuza zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...

-
Mshambuliaji huyo wa umri wa miaka 26 ambaye amekuwa akichezea klabu ya Corinthians ya Ugiriki amechezea taifa lake mechi 27 na kuwafungi...
-
Brit Awads 2016 zimefanyika huko London ambapo mwanamuziki Adele ameondoka na tuzo nyingi zaidi katika nomination alizo kuwepo. Hizi hapa...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
No comments:
Post a Comment