P.diddy na 50 cent ni washindani wakubwa na mara chache wamekuwa wakipishana kauli. Mapema mwaka huu P.diddy alimpa offer 50 cent ya kupokea vinywaji vya ‘ciroc vodka’ bure kwa muda wa maisha yake yote, Japo 50 aliitupilia mbali offer hiyo na kuendelea kupromote vinywaji vyake.
11 August, 2015
Msanii wa P.diddy aonekana akinywa kinywaji cha mpinzani wake, 50 Cent.
Msanii ambaye yupo chini ya Label ya “Bad Boyz”, ameonekana kwenye Party ya 50 cent “Pool After Dark party”
akinywa kinywaji cha mpinzani wa Boss wake “Effen vodka” japo wasanii
ambao wapo chini ya Label ya P.diddy hawaruhusiwi kupromote kinywaji
kingine tofauti na ‘Ciroc Vodka’
P.diddy na 50 cent ni washindani wakubwa na mara chache wamekuwa wakipishana kauli. Mapema mwaka huu P.diddy alimpa offer 50 cent ya kupokea vinywaji vya ‘ciroc vodka’ bure kwa muda wa maisha yake yote, Japo 50 aliitupilia mbali offer hiyo na kuendelea kupromote vinywaji vyake.
P.diddy na 50 cent ni washindani wakubwa na mara chache wamekuwa wakipishana kauli. Mapema mwaka huu P.diddy alimpa offer 50 cent ya kupokea vinywaji vya ‘ciroc vodka’ bure kwa muda wa maisha yake yote, Japo 50 aliitupilia mbali offer hiyo na kuendelea kupromote vinywaji vyake.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...
-
Brit Awads 2016 zimefanyika huko London ambapo mwanamuziki Adele ameondoka na tuzo nyingi zaidi katika nomination alizo kuwepo. Hizi hapa...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
-
Yule mkali wa Rnb Rama Dee katuletea ngoma mpya "Kipenda Roho" Bofya ku Download Music: Rama Dee - Kipenda Roho.
No comments:
Post a Comment