
Vanessa ametajwa kuwania kipengele cha International Best African Female Artist ambapo atachuana na wasanii wengine wakiwemo Victoria Kimani wa Kenya na Yemi Alade na Seyi Shay wa Nigeria.
Diamond anawania kipengele cha International Best African Male Artist akichuana na AKA wa Afrika Kusini, Sarkodie wa Ghana na Olamide wa Nigeria.
Tuzo hizo za nne kufanyika zitatolewa Jumamosi ya September 5, 2015 huko Mississauga, Ontario.
No comments:
Post a Comment