30 July, 2015

Mshindi wa airtel trace “Mayunga” kwa mara kwanza video yake kutambulishwa Trace

Aliekua mshindi wa aitel Trace mwaka 2015 Mayunga kutoka Tanzania ameanza vizuri kwani siku ya ijumaa kituo kikubwa cha kimataifa “Trace” itazindua video yake aliyo ishoot South Africa.
Mayunga-trace

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...