10 July, 2015

IKER CASILLAS AMEKATAA KUAGAWA UWANJANI NA REAL MADRID

CASI
Iker Casillas inaonekana hajapenda jinsi Real Madrid inavyomuuza kwenda Porto ikiwa yeye ndoto yake kubwa ilikua ni kumaliza soka lake ndani ya Real Madrid.
Ilibidi Casillas aagwe kwenye mechi na mashabiki wa Real Madrid lakini ripoti zinasema kwamba mchezaji huyo hajapenda jinsi anavyomalizana club hiyo iliyomlea toka utotoni.
David De Gea ndio kipa pekee anayetegemwa kuchukua mikoba ya kipa huyo japokua bado De Gea yupo Manchester united

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...