07 May, 2015

The Game amchimba mkwara Young Thug kuhusu kuzinguana na Wizzy.

game-young-thugSio tu Lil Wayne mwenye beef na rapa wa Rich Gang ‘Young Thug’ ila sasa The Game pia ametangaza rasmi kuwa na beef na huyu jamaa kama ataendelea kumfuatili Lil Wayne. Kwenye show yake huko New Orleans The Game ambaye anatoka Compton MC alimdiss Young Thugkwa kusema
“Anybody fucking with Tune, gotta fucking problem with me. I will fuck Young Thug up. I’m a Piru, nia. Westside, nia.”
Mtu yeyote mwenye tatizo na Wizzy basi anatatizo na yeye pia

Mawerenewz.blogspot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO,SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Mawere Mtoka Mbali, Instagram>>>Zawadi_mawere. Youtube>>>MAWERE TV.

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...