07 May, 2015

Manchester United imekubaliana kimsingi na klabu ya PSV Eindhoven kumsajili mshambuliaji raia wa Uholanzi Memphis Depay.

depay 1Depay mwenye umri wa miaka 21, alikuwa sehemu ya kikosi cha Van Gaal kilichoshiriki fainali za kombe la dunia mwaka 2014 nchini Brazil.Msimu huu ameisaidia timu yake kutwaa taji la Eredivise huku yeye akiibuka mfungaji bora baada ya kufunga mabao 21.
depay 2Tizama vitu vya kinda huyo >>>Bonyeza PLAY
DAUDA TV.

Mawerenewz.blogspot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO,SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Mawere Mtoka Mbali, Instagram>>>Zawadi_mawere. Youtube>>>MAWERE TV.

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...