Davido amefanya vizuri
sana kupitia industry ya muziki Afrika hasa nchini kwake Nigeria na ni
mmoja wa wasanii wadogo ambaye amejipatia umaarufu mkubwa kupitia zake
zake.
Orezi ambaye moja ya nyimbo iliyomtambulisha ni ‘Shoki’ kaamua kurudi tena na
kutoa remix ya wimbo wake ‘Shuperu’ na kuamua kumshirikisha mkali wa Nigeria Davido, ambapo Video imefanyika Nigeria chini ya Paul Gambit.
Nakukaribisha hapa kuitazama.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...
-
John ana mke ambaye haoni uzuri wa kitu chochote anachofanya, akifika tu nyumbani mke wake huanza kumlalamika kuwa hela anayoacha nyumba...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
-
This is a song sang by a very gifted woman Adele, I sang it to show world that everyone appreciate and love to enjoy good music! Asa...
No comments:
Post a Comment