sana kupitia industry ya muziki Afrika hasa nchini kwake Nigeria na ni
mmoja wa wasanii wadogo ambaye amejipatia umaarufu mkubwa kupitia zake
zake.
Orezi ambaye moja ya nyimbo iliyomtambulisha ni ‘Shoki’ kaamua kurudi tena na
kutoa remix ya wimbo wake ‘Shuperu’ na kuamua kumshirikisha mkali wa Nigeria Davido, ambapo Video imefanyika Nigeria chini ya Paul Gambit.
Nakukaribisha hapa kuitazama.
No comments:
Post a Comment