19 May, 2015

NICK MINAJ PAMOJA NA BEYONCE WAMEANZA KUTENGENEZA VIDEO YA WIMBO WAO UITWAO ‘Feeling Myself’ ZITAZAME HAPA PICHA NA KIPANDE CHA VIDEO HIYO

MINAJ6Ni collabo chache sana utakuta zinawahusu mastaa wa kike peke yake kutoka pamoja, lakini safari hii wadada hawa Nick Minaj na mwenzake Beyonce wameamua kushirikiana pamoja.Kwa wakati mmoja wametoa behind the scenes na sehemu ya
Video ya wimbo wao mpya ‘Feeling Myself’ kupitia kampuni ya Tidal inayosambaza kazi za muziki na kwa sasa ipo kwenye mitandao mbalimbali.


MINAJMINAJ2MINAJ3PONYEZ PLAY KUKIONA KIPANDE HICHI>>>


Mawerenewz.blogspot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO, SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Mawere Mtoka Mbali, Instagram>>>mawere_mtoka_mbali,SuScribe Youtube>>>MAWERE TV

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...