19 May, 2015

HATIMAE RAISI WA MAREKANI BARACK OBAMA APEWA ACCOUNT YAKE BINAFSI TWITTER.

U.S. President Barack Obama delivers a speech at the Anthropology Museum during his visit to Mexico City May 3, 2013.   REUTERS/Kevin Lamarque   (MEXICO - Tags: POLITICS)
US President Barack Obama amepata account yake binafsi ya twitter na White House wamethibitisha hili. Jina la twitter la rais Obama ni @POTUS (President Of The United States) na ndani ya saa 24 account hii imepata watu 100,000.

Twit yake ya kwanza ilikuwa hii “Hello, Twitter! It’s Barack. Really! Six years in, they’re finally giving me my own account
Kurasa yake iliyoendeshwa na  Organizing for Action staff, ilikuwa na watu milioni 59.3.
Kwa sasa President Obama anawafuata watu 65 ambao ni Bill Clinton, George W Bush na @FLOTUS ambaye ni mke wake ila hajaanza kumfuata Hillary Clinton, George W Bush au waziri mkuu wa Uingereza David Cameron.obamaobama 2

Mawerenewz.blogspot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO, SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Mawere Mtoka Mbali, Instagram>>>mawere_mtoka_mbali,SuScribe Youtube>>>MAWERE TV


No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...