17 May, 2015

Ariana Grande kaulizwa kuhusu maisha bila Big Sean,Jibu hili.

Pictured: Ariana Grande Mandatory Credit © DDNY/Broadimage Ariana Grande performs at "Today Show" in New York  8/29/14, New York, New York, United States of America  Broadimage Newswire Los Angeles 1+  (310) 301-1027 New York      1+  (646) 827-9134 sales@broadimage.com http://www.broadimage.com
 Ariana Grande
Baada ya mwezi kupita toka Big Sean ameachana na mpenzi wake Ariana Grande, wawili hawa wamekuwa wakijibu maswali kuhusu mahusiano yao kwa hasira tofauti na ilivyotangazwa awali.
Big Sean alisema ‘Ariana na mambo ya kitoto na kwamba anatumia pesa vibaya , huku Ariana akijibu
Big Sean hakumjali yeye kama mpenzi wake na kwamba alimumiza roho kwenye mashairi ya wimbo wake “Stay Down”.
Jipya ni kwamba Ariana Grande anaonekana kuwa mwenye raha ya kuwa peke yake kuliko Big Sean na hivi karibuni aliulizwa na paparazi kuhusu Big Sean ,jibu lilikuwa  “I’m officaly chilling, I’m happy.”


Mawerenewz.blogspot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO, SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Mawere Mtoka Mbali, Instagram>>>mawere_mtoka_mbali,SuScribe Youtube>>>MAWERE TV


No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...