17 May, 2015

BAD NEWZ: Nyota wa WWE Daniel Bryan Atangaza KUACHANA na WRESTLING.

Image result for Daniel Bryan
Nyota Huyu wa MCHEZO wa MIELEKA(WRESTLING), Juma tatu tarehe 11,2015, alitangaza rasmi kuachana na MCHEZO HUO badaada ya DAKTARI wake kumuambia yakwamba Afya yake haitomruhusu kuendelea na mchezo huo.Zaidi ya Yote Nyota huyo ambae anashikilia taji la
INTERCONTINENTAL Aliachia taji hiyo uwanjani na kuwaaga mashabiki. YES, YES, YES, YES ndio mtindo wake aliokua akitumia wakati anapokua ulingoni>> ITAZAME VIDEO HII WAKATI ALIPOKUA AKIWAAGA MASHABIKI WAKE>>>
Mawerenewz.blogspot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO, SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Mawere Mtoka Mbali, Instagram>>>mawere_mtoka_mbali,SuScribe Youtube>>>MAWERE TV

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...