06 May, 2015

Alichokifanya Mchekeshaji Erick Omondi baada ya Diamond kumuachia kipaza sauti

Omondi 1Erick Omondi ni mchekeshaji kutoka Kenya ambaye amepata umaarufu Tanzania kutokana na utundu wake wa kuigiza nyimbo za Diamond kwenye video, na hizi ni dakika zake alizopewa na Diamond kwenye stage ya White Party iliyofanyika Mlimani City Dar es salaam.

Chek hii video hapa chini alafu uniambia ni kichekesho gani zaidi kimekuchekesha….

MILLARD AYO #AYO TV

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...