04 April, 2015

EPL LEO KUENDELEA............







Arsenal-Vs-Liverpool-FA-Cup-575x400
ARSENAL wapo katika kibarua kingine kizito leo kwa kuikaribisha Liverpool uwanja wa Emirates.
Miamba hiyo ya soka nchini England inachuana mapema saa 8:45 mchana.
RATIBA NZIMA YA LIGI KUU ENGLAND EPL LEO JUMAMOSI
14:45
Arsenal
Liverpool
17:00
Everton
Southampton
17:00
Leicester City
West Ham United
17:00
Manchester United
Aston Villa
17:00
Swansea City
Hull City
17:00
West Bromwich Albion
Queens Park Rangers
19:30
Chelsea
Stoke City

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...