28 April, 2016

Mambo 8 unayopaswa kufahamu juu ya Ujio mpya wa iPhone 7

iPhone with sakuraKila mwaka, kampuni ya Apple inay-tengeneza simu za i iPhone 7 huwa wanatoaga toleo jipya la simu hizo ambazo huvutia watumiaji weengi ulimwenguni. Tangu kutolewa kwa iPhone 6 na iPhone 6 Plus kampuni hiyo wameweza kuboresha simu hizo kwa maana kwamba katika mfumo wa kiuendeshaji(operating system) na pamoja na kuongeza  ukubwa wa Screen. Kumekuwa na kukosolewa kwa design mbaya ya simu hizo hasa katika upande wa camera.
Uvumi ulioko sasa ni ujio mpya wa  iPhone 7, watu ulimwenguni kote wamekuwa wakijiuliza maswali je,nn hasa kitakua kimebadilika na kuboreshwa? Leo nitakupatieni angalo mambo 8 muhimu juu ya ujio mpya wa iPhone 7, na mambo hayo ni kama yafuatayo:-

1.Inatazamiwa kuachiliwa mwezi September.
Ifahamike tangu kutolewa kwa Phone 5, iPhone 5S, iPhone 6 na iPhone 6 plus zimekua ziktolewa katika mwezi September hivyo wataalamu wa mambo wametazamia Simu hiyo itatoka mwezi September. Na kutokana na kuvuja kwa Email kutoka Vodafone kwenda  kwa wafanya-kazi wake, imefahamika kua  iPhone 7 itatoka tarehe 25 mwezi September. Aidha Email hiyo iliyo vuja ime eleza kua watu wataanza ku-order Simu hizo kuanzia September18.

2.Itakuja na Toleojipya la  iOS 9.
Bila hata kuuliza ni kwamba simu hiyo itakuja na toleo jipya la mfumo wa  iOS 9 na hii ilitangazwa na kampuni hiyo kweny Worldwide Developers Conference (WWDC) 2015 mnamo June 8, 2015. Imekua ikizoeleka na kufahamika kuwa kampuni ya Apple imekua ikitoa new iOS version kabla hata ya officially releasing the final version. Na imekua ni kawaida kwamba new iOS is always prepared for a new iPhone release event.

3. Front camera: full 1080P at 240fps
 “iOS 9 is hinting at future device front cameras having: 1080p resolution, 240fps slow mo, panoramic capture, flash” Taarifa hii ilitolewa na developer Hazma Sood ikielezea kwamba  Simu hiyo itakuwa na Camera ambayo itakuwa na uwezo wa kuchukua panoramic images, 1080p video and slow-motion clips at 240 frames kwa Sekunde. This is a big improvement tangu kutolewa kwa iPhone 6 and iPhone 6 Plus only support 720P video shooting for FaceTime talking. Na inavyo onekana ni kwamba main camera itakuwa na uwezo wa mega-pixel 12 tofauti na iPhone 6 yenye mega-pixel 8 tuu( wale wa instagram mjiandae).

4.Flash light kwenye camera ya mbele.
Kama tunavyo fahamu ni kwamba hakuna toleo lolote la iPhone lililo wahi kutoka likiwa na Flash light kwenye camera ya mbele, hivyo kwenye iPhone 7 jambo hilolitakuwepo. Wale wapenzi wa zile mambo za selfie this is good news for you!

5.Force Touch screen design
 According to the report from Macotakara, Apple’s next iPhone would be 0.15mm longer and 0.2mm thicker than existing ones (iPhone 6 and iPhone 6 Plus) because it’s adopting the Force Touch screen board, which has been adopted by Apple Watch. From the tech blog 9to5mac report released last month, Apple would apply this touchscreen board to enhance iMessage, keyboard and Apple Pay performance.

6. Itakuja na processor yenye nguvu zaidi.
Toleo hilo jipya la iPhone litakuja na Apple’s A9 processor, ambayo itakua na uwezo wa 2GB RAM ikiwa na mara mbili zaidi ya ile ya iPhone 6. “Additional RAM would allow iOS to leave background tasks and tabs in Safari open for longer without a need to reload or refresh,” it says. “But additional RAM can also come with costs to battery life, as memory constantly consumes power.”.

7.Haitakuwa na  sehemu ya kuchomeka head-phone.
Ifahamike kwamba toleo hili litakua ni toleo la aina yake kuwahi kutolewa na Apple maana itakuwa ni simu nyembaba kuwahi kutokea. (0.15mm longer and 0.2mm). Kwa maana hiyo itakulazimu kununua Bluetooth headphones, jambo ambalo lita wachukiza watu wengi.

8.Utakua na uwezo wa kuichaji kwa wireless.
 Apple is apparently testing a prototype with wireless charging, a rumour that comes straight from Chinese social network Weibo.
But that’s not the only model Apple is testing. Other prototypes include multi-Force Touch, a fingerprint scanner in the screen, and USB-C connector.
No one knows which of these will make it to the market... if any.

Hayo ndio mambo unayopaswa kuyafahamu wewe mpenzi na mtumiaji wa iPhone. unaweza kununua iPhone 6 kwa bei poa kabisa leo kwa wauzaji maarufu duniani, Hapa na wazaungumzia Amazon. Fuata picha inayofuata hapo chini kufahamu namna ya kujipatia simu hiyo kwa bei poa .




Jiunge nami leo

* indicates required

1 comment:

  1. Bila hata kuuliza ni kwamba simu hiyo itakuja na toleo jipya la mfumo wa iOS 9 na hii ilitangazwa na kampuni hiyo kweny Worldwide Developers Conference (WWDC) 2015 mnamo June 8, 2015. Imekua ikizoeleka na kufahamika kuwa kampuni ya Apple imekua ikitoa new iOS version kabla hata ya officially releasing the final version. Na imekua ni kawaida kwamba new iOS is always prepared for a new iPhone release event.
    gta 5 apk

    ReplyDelete

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...