The Patterson, NJ repper aliingia mahakamani na Kiasi cha $165k(sawa na Fedha ya Tanzania 3608797.5) ili kulipa Fine ya Kiasi cha $365 (sawa na Fedha ya Tanzania798309.75) aliyo amriwa na mahakama Kulipa hapo jana Juma tano.
Rapper huyo alilazimika kulipa Fine hiyo baada ya kubainika kwamba kavunja mashariti ya Driving license huko marekani.
No comments:
Post a Comment