06 October, 2016

Rapper Fetty Wap Aionyesha mahakama Jeuri ya Pesa

Fetty Wap Rapper huyu kutokea pande za Unyamwezini a.ka.a kwa Obama kaamua Kuionyesha mahakama jeuri ya Fedha alizo nazo(Watoto wa mjini wanakuambia KAVIMBA).

The Patterson, NJ repper aliingia mahakamani na Kiasi cha $165k(sawa na Fedha ya Tanzania 3608797.5) ili kulipa Fine ya Kiasi cha $365 (sawa na Fedha ya Tanzania798309.75)  aliyo amriwa na mahakama Kulipa hapo jana Juma tano. 

Rapper huyo alilazimika kulipa Fine hiyo baada ya kubainika kwamba kavunja mashariti ya Driving license huko marekani.

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...