Mourinho amesema itakuwa vigumu kwa mwamuzi huyo kuchezesha vizuri baada ya uteuzi wake kukosolewa.
'Mtu mmoja akiwa na lengo anaweka shinikizo kwake' alisema Mourinho
Kwa kawaida makocha hawatakiwi kuzungumza lolote kuhusiana na mwamuzi kabla ya mchezo.

No comments:
Post a Comment