Umefikia muda wa kuikata kiu yako uliyoitunza kwa muda mrefu. Wapendanao Vanessa
Mdee na Jux wameachia bonge moja la kolabo linalokwenda kwa jina la "Juu" ambalo
limeachiwa kwa mara ya kwanza kabisa kwenye Mkito. Ngoma hii imetengenezwa na
Lufa- Switch Records.
Huu umekuwa mwaka mzuri kwa wawili hawa. Wamepiga tour za kutosha nchini
kwenye Fiesta huku wimbo wa "Wivu" wa Jux ukiendelea kusumbua kwenye chati
mbalimbali za muziki. Vanessa anatuwakilisha kwenye msimu mpya wa Coke Studio
Africa unaoanza jumamosi hii huku pia akiwa mmojawapo wa wasanii wa nyumbani
wanaogombania tuzo za MTV Base MAMAs kwenye kipengele cha Msanii bora wa
kike. Atakinukisha tena wikiendi hii mjini Mombasa akiwa na wakali kama Wizkid na
Chris Brown.
KUUPATA WIMBO HUO BOFYA DOWNLOAD HAPO CHINI.
06 October, 2016
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...

-
Mshambuliaji huyo wa umri wa miaka 26 ambaye amekuwa akichezea klabu ya Corinthians ya Ugiriki amechezea taifa lake mechi 27 na kuwafungi...
-
Brit Awads 2016 zimefanyika huko London ambapo mwanamuziki Adele ameondoka na tuzo nyingi zaidi katika nomination alizo kuwepo. Hizi hapa...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
No comments:
Post a Comment