12 September, 2016

Young Thug: Kutakua na maharusi wawili kwenye Harusi yangu.

Young Thug Rappper asiye ishiwa na vituko kutokea pande za Marekani Young Thug ambaye hivi karibuni alibadili jina na kujiita Jeffrey amenukuliwa akisema kutakua na Maharusi wawili kwenye Harusi yangu “There will be two brides at the wedding.” Hayo aliyasema kwenye Interview  aliyo fanya na Billbord.

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...