01 September, 2016
Video: Tizama hapa Kionjo cha Video mpya ya Diamond Ft Neyo.
Msanii maarufu na anaye wika hapa bongo na Africa kwa wakati huu Diamond Plutnum a.k.a Simba, yupo nchini Marekani akishoot Video ya wimbo aliyo fanya na Mkali Neyo kutokea pande za Marekani. Tizama video hiyo hapo chini kisha kumbuka kuwashirikisha wana Kitaa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...

-
Mshambuliaji huyo wa umri wa miaka 26 ambaye amekuwa akichezea klabu ya Corinthians ya Ugiriki amechezea taifa lake mechi 27 na kuwafungi...
-
Brit Awads 2016 zimefanyika huko London ambapo mwanamuziki Adele ameondoka na tuzo nyingi zaidi katika nomination alizo kuwepo. Hizi hapa...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
No comments:
Post a Comment